Rais John Magufuli akiwa jijini Arusha amezindua nyumba za Jeshi la Polisi na ametaka watu ambao waliounguliwa nyumba zao kesho wahamie wasije kuhamia maofisa na wao kuachwa.
Pia amesema maisha ya Polisi anayajua kwani ndiyo yaliyomtunzia mke kwani alikuwa mtoto wa askari Polisi.
Kwa sasa Rais Magufuli yuko uwanja wa Sheikh Amri Abeid akishuhudia umahiri na mazoezi ya Jeshi la Polisi kupambana na uhalifu na opereshani zao mbalimbali. Fuatana nami kujua kinachijiri Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Kwa upande wao polisi wameahidi unyang'anyi kwa kutumia pikipiki unaenda kuwa historia kwani wamejipanga na maonyesho yanafata ni ya kutuliza ghasia.
VIDEO: KIBA ATAJA ALICHOTAMANI KUKIFANYA JANA DHIDI YA MBEYA CITY MKWAKWANI TANGA
-
Msanii wa bongo fleva ambaye pia ni mchezaji wa Coastal Union jana Desemba
9, 2018 amecheza mchezo wake wa kwanza kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara tangu
asaj...
Post a Comment